Psalms 105:26-30


26 aAkamtuma Musa mtumishi wake,
pamoja na Haruni, aliyemchagua.

27 bWalifanya ishara zake za ajabu miongoni mwao,
miujiza yake katika nchi ya Hamu.

28 cAlituma giza na nchi ikajaa giza,
kwani si walikuwa wameyaasi maneno yake?

29 dAligeuza maji yao kuwa damu,
ikasababisha samaki wao kufa.

30 eNchi yao ilijaa vyura tele, ambao waliingia
hadi kwenye vyumba vya kulala vya watawala wao.
Copyright information for SwhKC